Pages

Saturday, April 26, 2014

LEO NI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

  ShabaniKilendemo.blogspot.com inapenda kuungana na watanzania wote wapenda amani na utulivu kuipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanznia chini ya Viongozi wake wakuu, Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilali, Waziri Mkuu Mizengo Piter Pinda pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Alli Mohamed Shein, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar , Maalim Seif Sharif Hamad, na Makamu wa pili wa Rais, Balozi, Seif Ali Idd kwa kuulinda na kutuongoza vyema wananchi wote katika kuulinda na kudumisha Muungano wetu kwa amani na Utulivu.


Pia tunawatakia kila la heri watanzania wote popote pale walipo kwa kusherehekea Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. "TUULINDE MUUNGANO WETU KWA MAENDELEO, AMANI NA USTAWI WA TAIFA LETU" na daima tukumbuke "UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU"

No comments:

Post a Comment