Raia
mmoja wa China ambaye ni mhandisi katika Kampuni ya Ujenzi ya China
Railway Bureu 15 Group inayojenga Daraja la Mto Kilombero, Qin Bao Feng
amekufa kwa kujinyonga kwa kile kinachodaiwa ni baada ya kuboronga
katika kazi.
Ilielezwa kuwa Feng aliamua kujinyonga baada ya nguzo za daraja alilokuwa akilisimamia katika ujenzi huo, kusombwa na maji, jambo ambalo aliona kuwa limemvurugia kazi yake.
Ilielezwa kuwa Feng aliamua kujinyonga baada ya nguzo za daraja alilokuwa akilisimamia katika ujenzi huo, kusombwa na maji, jambo ambalo aliona kuwa limemvurugia kazi yake.

No comments:
Post a Comment