Pages

Tuesday, April 22, 2014

SAMUEL SITTA AMPA TAARIFA YA MWENENDO WA BUNGE MAALUM LA KATIBA RAIS DKT ALI MOHAMMED SHEIN



 Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta akimpatia taarifa juu ya mwenendo wa Bunge Maalum la katiba na ulipofikia, Rais Wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mheshimiwa Dkt. Ali Mohammed Shein, alipomtembelea nyumbani Ikulu ya Migombani Zanzibar. Mhe Sitta alikuwa Visiwani Zanzibar kwa lengo la kuonana na Mhe. Shein kumpatia taarifa kamili ya shughuli za Bunge Maalum la Katiba.

No comments:

Post a Comment