
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi mjini
Endasaki, Hanang, jana, Mei 27, 2014, akiwa katika ziara ya kukagua
utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi na njia
sahihi ya kutatua kero hizo mkoani Manyara

Katibu
Mkuu wa CCM, Kinana na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye
wakiongozana na Vijana wa Kibarbeig kuingia kwenye mkutano wa hadhara
uliofanyika Ofisi ya CCM Kateshi, jana, Mei 27, 2014.

Katibu
Mkuu wa CCM, Kinana akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa
hadhara uliofanyika Viwanja vya Ofisi ya CCM Katesh, mkoani Manyara

Kinana akihutubia kwenye mkutano huo wa Katesh

Mbunge wa Hanang, Mary Nagu akihutubia kueleza utekelezaji wa ilani ya CCM jimboni mwake kwenye mkutano huo wa Katesh

Wananchi wakiwa kwenye mkutano huo

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Christina Mndeme akisalimia wananchi kwenye mkutano huo wa Katesh

Waziri
Mkuu mstaafu Frederick Sumaye na Mbunge wa Hanang Dk. Mary Nagu
wakijadili jambo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika Katesh mkoani
Manyara, Mei 27, 2014. Sumaye amewahi pia kuwa mbunge wa Hanang.

Kinana
akikabidhi vifaa vya michezo kwa timu ya Igembesabo iliyoibuka bingwa
katika michuano ya Vijana wa jimbo la Hanang, wakati wa mkutano wa
Katesh

Kinana na Nagu wakikabidhi mizinga ya nyuki kwa vikundi vya vijana Katesh

Mwanachama wa Chadema akirudisha kadi yake kwa Kinana alipoamua kuhamia CCM kwenye mkutano wa Katesh
Kinana akipiga mpira wakati Nagu akisubiri kuudaka, wakati wa ufunguzi mashindano ya vijana Endasaki

Kinana akipiga mpira wakati Nagu akisubiri kuudaka, wakati wa ufunguzi mashindano ya vijana Endasaki

Kinana na Sumaye wakishiriki ujenzi Ofisi ya CCM tawi la Qaroda,
No comments:
Post a Comment