| Profesa Ibrahim Lipumba akikaribishwa na Mchungaji Peter Msigwa (mbunge wa Iringa Mjini )kuhutubia mamia ya wakazi wa mji wa Iringa waliojitokeza |
| Huu ndio ulikuwa muitikio wao, wakisisitiza serikali tatu kama walivyotoa maoni yao kwa Tume ya Katiba |
| Mchungaji Msigwa akiamsha hali kwa wananchi hao |
| Profesa Lipumba akionesha rasimu iliyosainiwa na Rais Jakaya Kikwete kwa ajili ya kujadiliwa na bunge maalumu la katiba |
| Danda Juu wa NCCR-Mageuzi alikuwepo pia na akazungumza machache anayofahamu kuhusu rasimu hiyo, msisitizo ukiwa ni serikali tatu kama ilivyopendekezwa na katika rasimu |
| Diwani wa kata ya mivinjeni Iringa Mjini, Frank Nyalusi alikuwepo na akarusha lawama kwa jeshi la Polisi kwa kutisha watu ili wasipate katiba wanayotaka |
| Katibu wa Chadema Mkoa wa Iringa, Allein alikuwa mshehereshaji wa mkutano huo wa Ukawa |
| Moja ya mabango yaliyopamba mkutano huo na ujumbe wake kama unavyosomeka |
No comments:
Post a Comment