AIRTEL DIVA WATOA MISAADA KWENYE TAASISI YA SARATANI YA OCEAN ROAD ILIYOPO JIJINI DAR ES SALAAM
Mwenyekiti
wa kikundi cha wanawake wafanyakazi wa Airtel Tanzania ‘Airtel Diva’,
Amitin Mbamba (kulia), akikabidhi msaada wa machela za kisasa mbili,
‘wheel chair’ mbili na bidhaa mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya
milioni 5/-, kwa Muuguzi Mkuu wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road
(ORCI), Mary Haule, kwa ajili ya matumizi ya wagongwa katika taasisi
hiyo, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wanaoshuhudia ni wanachama
wa Airtel Diva.
Mwenyekiti wa kikundi cha wanawake wafanyakazi wa Airtel Tanzania
‘Airtel Diva’, Amitin Mbamba (kulia), akikabidhi msaada wa moja kati ya
‘wheel chair’ mbili, machela za kisasa mbili na bidhaa mbalimbali vyenye
thamani ya zaidi ya milioni 5/-, kwa Muuguzi Mkuu wa Taasisi ya
Saratani ya Ocean Road (ORCI), Mary Haule, kwa ajili ya matumizi ya
wagongwa katika taasisi hiyo, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Wanaoshuhudia ni wanachama wa Airtel Diva.
Muuguzi Mkuu wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI), Mary Haule
(kulia) akiwaongoza wanachama wa kikundi cha wafanyakazi wanawake wa
Airtel Tanzania ‘Airtel Diva’, wakati walipotembelea wagonjwa wa taasisi
hiyo, baada ya kukabidhi msaada wa machela za kisasa mbili, ‘wheel
chair’ mbili na bidhaa mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya milioni
5/-, kwa ajili ya matumizi ya wagongwa katika taasisi hiyo, jijini Dar
es Salaam mwishoni mwa wiki.
Wanachama wa kikundi cha wafanyakazi wanawake wa Airtel Tanzania
‘Airtel Diva’, wakiwa wamebeba bidhaa mbalimbali, walipotembelea
wagonjwa katika Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI) na kukabidhi
msaada wa machela za kisasa mbili, wheel chair mbili vyenye thamani ya
zaidi ya milioni 5/-, kwa ajili ya matumizi ya wagongwa katika taasisi
hiyo, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
No comments:
Post a Comment