Kamanda wWa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam,CP Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo wakati akitoa taarifa ya tukio la kukutwa kwa viungo vya binadamu liliyotokea jana jioni maeneo ya Bonde la Mbweni,Mpiji. ambapo watu nane wanahojiwa kuhusiana na tukio hilo wakiwemo na madaktari.
Waandishi wa habari wàkimsikiliza kamanda Suleiman kova
Waandishi wa habari wàkimsikiliza kamanda Suleiman kova


No comments:
Post a Comment