Pages

Tuesday, August 26, 2014

BASI LA HOOD LAPATA AJALI ARUSHA

Raia wakishuhudia ajali ya basi la Hood ilivyotokea.

 Basi la Hood lililokuwa likitoka Arusha kwenda Iringa llimepata ajali asubuhi ya leo eneo la Kikatiti, Arusha. Basi hilo lilitaka kugongana uso kwa uso na lori la mizigo, ndipo katika kukwepana ikatokea ajali hiyo. Abiria wa basi wamenusurika , ila lori lilidumbukia darajani na hakukuwa na mtu aliyepoteza maisha.

No comments:

Post a Comment