Pages

Saturday, September 6, 2014

MBUNGE APATA AJALI



 Mbunge wa Muhambwe kupitia NCCR-MAGEUZO Felix Mkosamali amepata ajali mbaya ya barabarani eneo la wilaya ya BAHI mkoani Dodoma akiwa njiani kutokea Dodoma kwenda Kigoma. 

No comments:

Post a Comment