Pages

Tuesday, October 21, 2014

MAMA YAKE MISS TANZANIA 2014 SITTI MTEMVU AONGELEA KUHUSU KASHFA YA UMRI WAKE

 

Kwa kashfa na maneno yote yanayosemwa juu ya binti yake, Sitti Mtemvu, si jambo la kuuliza mara mbili iwapo mama yake anaweza kuwa na urafiki na vyombo vya habari.
Mama mzazi wa Miss Tanzania 2014 alipata fursa ya kuwapa makavu live waandishi wa habari waliotaka kufahamu mtazamo wake kuhusiana na skendo ya kudanganya umri inayomhusu mwanae. jionee hapo chini.


No comments:

Post a Comment