Pages

Friday, March 20, 2015

RATIBA YA ROBO FAINALI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA YATAJWA

droo 
Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA) leo limekamilisha upangaji wa ratiba ya mechi za robo fainali ya ligi ya mabingwa iliyofanyika katika mji wa Nyon, Switzerland.

Katika ratiba hiyo Real Madrid itacheza na Atletico Madrid huku Barcelona wao wakiwa na kibarua kigumu dhidi ya Paris Saint-Germain ama ‘PSG‘ ambayo iliiondoa Chelsea kwenye michuano hiyo.

fifaaaa 
FC Porto watakutana na Bayern Munich nao Juventus wakiwa na kibarua kikali dhidi ya AS Monaco ya Ufaransa iliyoiondoa Arsenal.


Mechi:

PSG Vs Barcelona

Atletico Madrid Vs Madrid

Porto Vs Bayern

Juve Vs Monaco

No comments:

Post a Comment