Pages

Sunday, May 3, 2015

FLOYD MAYWEATHER AMCHAKAZA MANNY PACQUIAO


Najua watu wengi waliisubiri hii kwa hamu.. wengine hata sio mashabiki wa boxing lakini walijikuta wakivutiwa na hii.. Promo ilikuwa kubwa sana, pambano la kihistoria ambalo dunia nzima ililisubri ni hili kati ya Floyd ‘Money’ Mayweather na Manny Pacquiao.
Points tayari zimeamua, pambano limeenda kwa round 12, Floyd Mayweatherkamshinda Pacquiao kwa points za majaji watatu wote, 118 kwa 110, 116 kwa 112 na 116 kwa 112.

No comments:

Post a Comment