
Maduka yaliyoathirika na moto huo ni Gulio La Mahafa Duka lililokuwa linauza bidhaa mbali mbali kwa jumla na reja reja zikiwamo bidhaa za Bakhresa,Duka la Esheki Investment lililo kuwa likiuza bidhaa za maofisini,vitabu na huduma ya uchapaji pomoja na Duka la madawa la lijulikanalo kama Kavula Pharmacy.
Sehemu iliyokuwa na maduka ikiwa imeteketea kabisa kwa moto
uliotokea leo Barabara ya Nyerere karibu na Ofisi za makao makuu ya
Chama cha Mapinduzi CCM.
No comments:
Post a Comment