Watu zaidi ya wanne wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya basi la Air Bus lililopinduka eneo la Kiegeya, Gairo mkoani Dodoma mchana huu. Jitihada za kuokoa maisha ya abiria zinaendelea..ni siku tatu tu zimepita toka ajali nyingine mbaya itokee huko Musoma na kupoteza maisha ya zaidi ya Watanzania 35.taarifa kamili inakuja







No comments:
Post a Comment