Pages

Friday, March 13, 2015

RUFAA YA OSCAR PISTORIUS YATUPILIWA MBALI

 
Mwanariadha Oscar Pistorius.
 JAJI Thokozile Masipa ametupilia mbali rufaa ya mwanariadha anayehudumia kifungo cha miaka mitano jela kwa kumuua mpenzi wake, Oscar Pistorius huko Afrika Kusini.
 
Oscar Pistorius akiwa na Reeva Steenkamp.
 Rufaa hiyo iliwasilishwa na makili wa mwanariadha huyo ambaye ni mlemavu wa miguu.
Jaji Masipa ametoa uamuzi huo katika Mahakama ya Johannesburg nchini Afrika Kusini kwamba ombi hilo likataliwe.

Pistorius akiwa kazini.
 Pistorius alimpiga risasi na kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp mwezi Februari 2013 na kuhukumiwa kwenda jela miaka mitano kwa kuua bila kukusudia.

No comments:

Post a Comment