Pages

Showing posts with label Michezo kimataifa. Show all posts
Showing posts with label Michezo kimataifa. Show all posts

Friday, March 20, 2015

RATIBA YA ROBO FAINALI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA YATAJWA

droo 
Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA) leo limekamilisha upangaji wa ratiba ya mechi za robo fainali ya ligi ya mabingwa iliyofanyika katika mji wa Nyon, Switzerland.

Katika ratiba hiyo Real Madrid itacheza na Atletico Madrid huku Barcelona wao wakiwa na kibarua kigumu dhidi ya Paris Saint-Germain ama ‘PSG‘ ambayo iliiondoa Chelsea kwenye michuano hiyo.

fifaaaa 
FC Porto watakutana na Bayern Munich nao Juventus wakiwa na kibarua kikali dhidi ya AS Monaco ya Ufaransa iliyoiondoa Arsenal.


Mechi:

PSG Vs Barcelona

Atletico Madrid Vs Madrid

Porto Vs Bayern

Juve Vs Monaco

SOMA ZAIDI >>> »

Saturday, November 8, 2014

MANCHESTER UNITED YAIBAMIZA CRYSTAL PALACE 1- 0

Juan Mata strikes from the edge of the box with a shot that was deflected past Julian Speroni to give Manchester United all three points

Juan Mata strikes from the edge of the box with a shot that was deflected past Julian Speroni to give Manchester United all three points
Mata celebrates breaking the deadlock in front of a delighted Old Trafford crowd after 67 minutes
Mata celebrates breaking the deadlock in front of a delighted Old Trafford crowd after 67 minutes
Both sides observe a minute's silence in honour of the war dead before the start of play as the teams commemorate Remembrance Day
Both sides observe a minute's silence in honour of the war dead before the start of play as the teams commemorate Remembrance Day
Manchester United and England captain Wayne Rooney takes a shot as United came out of a a frustrating afternoon with a win
Manchester United and England captain Wayne Rooney takes a shot as United came out of a a frustrating afternoon with a win
Adnan Januzaj looks to inject a little bit of quality into the game as he takes on Joel Ward down the right hand side
Adnan Januzaj looks to inject a little bit of quality into the game as he takes on Joel Ward down the right hand side
Fraizer Campbell had Crystal Palace's best chance of the game but his lob over David de Gea was also over the crossbar 
Fraizer Campbell had Crystal Palace's best chance of the game but his lob over David de Gea was also over the crossbar 
Luke Shaw prevents Jason Puncheon breaking away for Crystal Palace as United dominated possession but struggled to create chances
Luke Shaw prevents Jason Puncheon breaking away for Crystal Palace as United dominated possession but struggled to create chances
Rooney takes a shot but the Palace defence were prepared to put their bodies on the line in a dogged first half defensive display
Rooney takes a shot but the Palace defence were prepared to put their bodies on the line in a dogged first half defensive display
Michael Carrick, starting his first game this season, is tackled by Marouane Chamakh as Neil Warnock's side proved a frustrating obstacle
Michael Carrick, starting his first game this season, is tackled by Marouane Chamakh as Neil Warnock's side proved a frustrating obstacle
Young defender Paddy McNair, who was impressive in a makeshift United defence, works to keep Yannick Bolasie away from goal
Young defender Paddy McNair, who was impressive in a makeshift United defence, works to keep Yannick Bolasie away from goal
Damien Delaney wins the ball ahead of Januzaj as Palace showed determination to frustrate Louis van Gaal's side for more than an hour
Angel di Maria was finding life tough on a difficult afternoon before Juan Mata's strike put Manchester United into the lead
Angel di Maria was finding life tough on a difficult afternoon before Juan Mata's strike put Manchester United into the lead
Neil Warnock bellows instructions to his team, who showed plenty of passion and organisation to keep United at bay for so long
Neil Warnock bellows instructions to his team, who showed plenty of passion and organisation to keep United at bay for so long
Di Maria tries a volley but his way is blocked by a wall of Palace defenders lined up inside their own penalty area
Di Maria tries a volley but his way is blocked by a wall of Palace defenders lined up inside their own penalty area
The Spanish midfielder had only been on the pitch for four minutes when he put Van Gaal's side into the lead
The Spanish midfielder had only been on the pitch for four minutes when he put Van Gaal's side into the lead
Mata is mobbed by Robin van Persie and Rooney as Old Trafford experienced a tide of relief with the goal 23 minutes from time
Mata is mobbed by Robin van Persie and Rooney as Old Trafford experienced a tide of relief with the goal 23 minutes from time
 
Marouane Fellaini shows James McArthur away from goal as United worked hard to snuff out any hopes of a Palace comeback
 Yannick Bolasie tries to escape from Antonio Valencia, who was back on the right side of defence again as United coped with injuries
 Yannick Bolasie tries to escape from Antonio Valencia, who was back on the right side of defence again as United coped with injuries
Daley Blind finished the game in a centre back partnership with Carrick, as the two midfielders had to slot into defence
Daley Blind finished the game in a centre back partnership with Carrick, as the two midfielders had to slot into defence
SOMA ZAIDI >>> »

LIVERPOOL ACHEZEA KICHAPO CHA 2-1 KUTOKA KWA CHELSEA LEO


Diego Costa (right) lashes the ball home for Chelsea's second goal at Anfield


Emre Can put Liverpool ahead after nine minutes with a shot that deflected in off Chelsea defender Gary Cahill (left)


Simon Mignolet holds the ball but was adjudged to have been over the line and Chelsea were awarded an equaliser

Can lets fly and his shot from 25 yards led to Liverpool's opening goal (via a deflection)
SOMA ZAIDI >>> »

Sunday, November 2, 2014

MANCHESTER UNITED YAPIGWA 1 - 0 DHIDI YA MANCHESTER CITY

Ligi kuu ya soka nchini England imeendelea hii leo kwa michezo miwili iliyopigwa huko jijini Manchester na jijini Birmingham .

Katika mchezo wa kwanza Mabingwa watetezi wa ligi hiyo Manchester City waliwafunga mahasimu wao wa jadi Manchester United kwa bao moja bila katika mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa Etihad .

Bao pekee lililoamua mchezo huo lilifungwa na mshambuliaji raia wa Argentina Sergio Kun Aguerro ambaye alimalizia pasi ya Gael Clichy .

United katika mchezo huo ilimaliza ikiwa pungufu baada ya mlinzi Chris Smalling kuonyeshwa kadi nyekundu mapema kwenye kipindi cha kwanza .

Matatizo ya United hayakuishia hapo kwani baadaye mlinzi wa kimataifa wa Argentina Marco Rojo alilazimika kutolewa nje baada ya kuumia bega lake .

Huu ni ushindi wa nne mfululizo ambao City inaupata mbele ya United huku Sergio Aguerro akiendelea kuwaumiza mashetani wekundu akiwa amefunga mabao matano kwenye michezo sita dhidi ya United .


SOMA ZAIDI >>> »

ROONEY LEO KUANZA KIKOSINI

Wayne Rooney yuko 'fiti' na ataanza kwa upande wa Manchester United dhidi ya Manchester City, lakini mshambuliaji Radamel Falcao hatocheza kutokana na kuwa bado majeruhi.
Meneja wa Man Utd Louis van Gaal amethibitisha kuwa nahodha wake atacheza baada ya kumaliza kutumikia adhabu yake, na kusema taarifa zinazodai kuwa ameumia si za ukweli.

Falcao hakucheza katika mechi dhidi ya Chelsea iliyomalizika kwa sare ya 1-1.
Winga Antonio Valencia naye amerejea baada ya kupona msuli wa paja.
Van Gaal ametupilia mbali taarifa zilizodai kuwa Rooney hana uhakika wa kucheza kwa sababu alionekana akichechemea katika shughuli moja ya wadhamini siku ya Jumatatu, Old Trafford.
SOMA ZAIDI >>> »

Monday, October 20, 2014

MCHEZAJI AFARIKI DUNIA AKISHEREHEKEA BAADA YA KUFUNGA BAO

Mchezaji wa soka nchini India, Peter Biaksangzuala amefariki kutokana na majeraha aliyoyapata baada ya kuanguka vibaya uwanjani akisherehekea bao lake. 

Mchezaji huyo alikuwa na umri wa miaka 23 na alijeruhi uti wake wa mgongo baada ya kupiga pindu uwanjani akisherehekea bao lake la kusawazisha kwa timu yake Bethlehem Vengthlang FC dhidi ya Chanmari West FC.

Biaksangzuala alikimbizwa hospitalini na kufanyiwa upasuaji lakini baadaye alifariki.

Mechi hiyo ambapo alipata jerehe la mgongo, ilikuwa mechi muhimu katika ligi ya nchi hiyo.

Taarifa kutoka kwa ligi hiyo kpitia kwa mtandao wa Facebook, ilisema : ''imekuwa siku yenye huzuni mkubwa kwa ligi ya Mizoram na kifo cha mchezaji wetu kimetushtua sana pamoja na wachezaji wenzake, wachezaji wa soka na mashabiki wa Mizoram. ''

"Peter alikuwa mchezaji mzuri na milinzi mzuri sana, na pia alikuwa mchapa kazi.''

SOMA ZAIDI >>> »

REAL MADRID BADO HAINA UHAKIKA NA BALE

Bado haijulikani kama mchezaji matata wa Real Madrid Gareth bale atacheza katika mechi dhidi ya Liverpool katika ligi ya mabingwa ulaya hapo Jumatano.
Bale mwenye umri wa miaka 25 anauguza jeraha la misuli ya paja. Jeraha hili lilimpelekea kutoshiriki mechi ya Real madrid dhidi ya Levante Jumamosi licha ya kuratibiwa kama mchezaji wa ziada.
Taarifa iliyotelewa na Real Madrid haikufafanua muda ambao Bale atasali nje ya uwanja hata hivyo walisema atazidi kukaguliwa jinsi anavyopata nafuu.
Baada ya mechi yao ya Kundi B itakayochezewa ugani Anfield, Real Madrid inatarajiwa kukabana koo na mahasimu wao wa jadi Barcelona katika ligi ya El Clasico hapo jumamosi.
Bale aliichezea timu yake ya taifa ya Wale kwa vipindi vyote viwili dhidi ya Bosnia Hercegovina hapo tarehe 10 oktoba na kisha akaichezea tena dhidi ya Cyprus siku tatu zilizofuata katika michuano ya kufuzu kwa ligi ya mabingwa ulaya.
Bale ambaye alihamia Real Madrid kutoka Tottenham mwaka uliopita kwa kima cha takriban pauni milioni 85.3, ameichezea real Madrid mechi 12 huku akiwa amefunga mabao matano

Chanzo:BBC Swahili
SOMA ZAIDI >>> »

Saturday, October 18, 2014

MANCHESTER CITY YAICHAPA TOTTENHAM 4 - 1

MANCHESTER City imeanza kushika kasi kwenye Ligi Kuu ya England baada ya kuitandika Tottenham bao 4-1 na kuendelea kuidhibiti nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi.
Magoli yote ya Manchester City yaliwekwa kimiani na mshambuliaji Sergio Aguero katika dakika za 13, 20 (pen), 68 (pen) na 75 huku lile la kufutia machozi la Tottenham likifungwa na Eriksen  dakika ya 15.
Manchester City: Hart 9, Sagna 6, Demichelis 6, Kompany 7, Clichy 6.5, Milner 7.5, Lampard 8 (Fernandinho 28 6), Fernando 6 (Toure 60 6), Navas 6.5, Silva 7.5 (Jovetic 70 6), Aguero 9.5
Tottenham: Lloris 8, Dier 6.5, Fazio 6, Kaboul 5.5, Rose 6; Capoue 6 (Dembele 60 6), Mason 6 (Vertonghen 70 6), Chadli 7, Eriksen 7.5, Lamela 5 (Townsend 60 6), Soldado 6
SOMA ZAIDI >>> »

Sunday, October 5, 2014

ARSENAL YALALA KWA MABAO 2 - 0 KUTOKA KWA CHELSEA

IMG_7773.PNG
Ile mechi ya kuamua nani mbabe wa jiji la London kati ya Chelsea dhidi ya Arsenal imemalizika muda mfupi uliopita.
Matokeo kwenye mchezo huo uliokuwa na kashi kashi nyingi ukiwemo ugomvi wa kushikana mashati wa Wenger dhidi ya Mourinho – ni ushindi wa 2-0 kwa Chelsea.
Eden Hazard alianza kuiadhibu Arsenal kipindi cha kwanza baada ya kufunga mkwaju wa penati baada ya kufanyiwa madhambi na Koscienly.
Kipindi cha pili katika dakika za mwishoni Diego Costa alipokea pasi nzuri kutoka kwa Cesc Fabregas na akaifungia Chelsea goli la pili na kuhitimisha ushindi huo dhidi ya Gunners
SOMA ZAIDI >>> »

MANCHESTER UNITED YAICHAKAZA EVERTON 2 - 1

IMG_7752.JPG
Baada ya kukubali kunyanyashwa mara mbili mfululizo msimu uliopita na Everton, hatimaye leo Manchester United ilipata nafasi kufuta uteja wao kwa klabu hiyo ya Merseysed.
Katika mchezo uliomalizika hivi punde katika uwanja wa Old Trafford umemalizika kwa Man United kufuta uteja mbele ya Everton.
Kikosi cha Louis Van Gaal kimefanikiwa kupata ushindi wa 2-1.
Angel Di Maria alifungua akaunti ya magoli katika mchezo wa leo katika dakika ya 25 baada ya kupokea pasi nzuri kutoka kwa Juan Mata.
Dakika moja kabla ya mapumziko Leighton Baines alikosa mkwaju wa penati baada ya Luke Shaw kumkwatua mchezaji wa Everton.
Kipindi cha pili Everton walirudi vizuri na kufanikiwa kupata goli la kusawazisha kupitia Naismith.
Baada ya goli hilo Man United wakajipanga upya na alikuwa yule yule Angel Di Maria akatoa pasi nyingine ya mwisho kwa Falcao aliyefunga goli la ushindi.
United inabidi wamshukuru kipa David De Gea kwa kazi nzuri aliyoifanya kuokoa michomo ya magoli ya wazi na hatimaye wakafanikiwa kumaliza mchezo wakiwa na ushindi wa 2-1.
SOMA ZAIDI >>> »

Tuesday, August 26, 2014

DI MARIA ATUA MANCHESTER UNITED


Manchester Utd wamekamilisha usajili wa Mchezaji Angel Di Maria Kutoka Real Madrid kwa ada iliyovunja Rekodi ya £59.7m.Di Maria amesaini mkataba wa Miaka Mitano wa Kuitumikia Club ya Man Utd

SOMA ZAIDI >>> »

Friday, August 8, 2014

DROO YA UEFA YAFANYIKA LEO

Bosi wa Arsenal, Arsene Wenger alikiri kuwa kuna timu hatari katika droo ya UEFA iliyofanyika leo ijumaa.

ASERNAL watakabiliana na Besiktas  katika mchezo wa raundi ya pili ya mtoano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya (UEFA).
Arsene Wenger alikwepa kukutana na Athletic Bilbao, Lille , FC Copenhagen, Standard Liege, lakini sasa atachuana na timu hiyo ya Uturuki ambayo siku za karibuni ilimsajili Demba Ba kutoka Chelsea kwa ada ya uhamisho ya paundi milioni  4.7.
Besiktas ilimaliza katika nafasi ya tatu msimu uliopita, lakini imefuzu kucheza UEFA baada mabingwa Fenerbahce kufungiwa kucheza mechi za michuano ya ulaya kwa kosa la kupanga matokeo ya mechi ya nyumbani.
Arsenal watasafiri kwenda Uturuki kucheza mechi ya kwanza Agosti 19 au 20 mwaka huu na mechi ya marudiano itapigwa Emirates Agosti 26 au 27.
Kiungo wa Asernal mwenye asili ya Uturuki, Mesut Ozil alifurahishwa na droo na kuandika kwenye mtandao wa Twita akisema: 'Droo nzuri! tayari tunaangalia mbele kuelekea mechi dhidi! @Besiktas! #Turkey #İstanbul #Arsenal #AFC #UCLdraw'.
Wakati huo huo, leo asubuhi, Celtic wamepewa nafasi ya kusonga mbele baada ya kubainika kuwa klabu ya Legia Warsaw ilimchezesha mchezaji asiyekuwa na vigezo.
Kamati ya nidhamu ya UEFA ilikutana na kutoa maamuzi kabla ya droo mjini Nyoni na kuamua kuwa Celtic wanatakiwa kupewa ushindi wa mabao 3-0 katika mchezo wa pili na inamaanisha wamesonga mbele kwa magoli ya ugenini.
DRAW NZIMA HII HAPA
FULL CHAMPIONS LEAGUE PLAY-OFF ROUND DRAW
Maribor vs Celtic
Red Bull Salzburg vs Malmo
Aalborg vs APOEL
Steaua Bucharest vs Ludogoret
Slovan Bratislava vs BATE
Besiktas vs Arsenal
Standard Liege vs Zenit
Copenhagen vs Bayer Leverkusen
Lille vs Porto
Napoli vs Athletic Bilbao
Ties to be played on the 19/20 and 26/27 August 
SOMA ZAIDI >>> »

Sunday, July 13, 2014

UHOLANZI YAICHAPA BRAZIL 3 - 0 NA KUKWEA HADI NAFASI YA TATU

LUIZ Felipe Scolari mambo yamemdodea kabisa baada ya usiku wa kuamkia leo kuchapwa mabao 3-0 na Uholanzi.
Ushindi wa Uholanzi ni zawadi kubwa kwa Louis Van Gaal ambaye ameiongoza kwa mara ya mwisho timu hiyo na sasa anaenda kuungana na klabu yake ya Manchester United.
Van Gaal aliyekuwa na malengo ya ubingwa amefanikiwa kushinda nafasi ya tatu katika michuano ya mwaka huu ya kombe la dunia baada ya kupigwa kwa mikwaju ya penati na Argentina katika mchezo wa nusu fainali


SOMA ZAIDI >>> »

Saturday, July 5, 2014

NEYMAR AUMIA UWANJANI,KUIKOSA NUSU FAINALI DHIDI YA UJERUMANI


Neymar akiwa amelala chini baada ya kupata majeruhi 
NYOTA wa Brazil, Neymar,  ataikosa mechi ya nusu fainali baina ya wenyeji dhidi ya Ujerumani jumanne ijayo, hii ni kwa mujibu wa kocha, Luiz Felipe Scolari.
Taifa mwenyeji limefanikiwa kufuzu hatua ya nusu fainali baada ya ushindi wa mabao 2-1 mjini Fortaleza, lakini nyota wake alitolewa nje kwa machela dakika tatu kabla ya mechi kumalizika na amekimbizwa hospitali baada ya mechi kumalizika kutokana na kupata majeruhi ya mgongo.
Neymar amekuwa akijikaza kuimarika katika mechi zote za Brazil kutokana na majeruhi ya  goti, lakini alifaulu kuanza katika mechi zote.


SOMA ZAIDI >>> »

Wednesday, May 28, 2014

MMILIKI WA MANCHESTER UNITED AMEFARIKI



Mmiliki wa Klabu ya Manchester United Malcolm Glazer amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85.

Familia ya Glazer ilinunua Manchester United kwa paundi milioni 790 mwaka 2005 licha ya mashabiki kupinga hatua hiyo.

Baada ya hapo United walishinda kombe la EPL mara tano - 2005, 2008, 2009, 2011 na 2013, na pia Champions League mwaka 2008.

Glazer ambaye ni Mmarekani pia alinunua klabu ya NFL ya Tampa Bay Buccaneers mwaka 1995.
SOMA ZAIDI >>> »

Sunday, May 25, 2014

REAL MADRID:MABINGWA UEFA CHAMPIONS

 YAICHAPA ATLETICO MADRID 4-1


 Golikipa wa Real Madrid, Iker Casillas, (katikati) akinyanyua Kombe la Ligi ya Mabingwa baada ya mechi ya Fainali na Atletico Madrid iliyochezwa jana usiku kwenye Uwanja wa Luz huko Lisbon. Katika mchezo huo Real Madrid ilishinda mabao 4-1. 

Gareth Bale of Real Madrid celebrates with the Champions League trophy
Welsh wonder: Bale with the flag of his home nation as he celebrates Real's victory
Bale akiwa na bendera ya nchi yake wakati akishangilia ushindi wa Real Madrid.
 

 Mshambuliaji wa Real Madrid,  Sergio Ramos, (katikati) akishangilia na wachezaji wenzake baada ya ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Atletico Madrid katika fainali ya Ligi ya Mabingwa uliochezwa jana usiku.


 Mshambuliaji wa Real Madrid, Christiano Ronaldo, (kushoto chini) akilalamika kwa mwamuzi Bjorn Kuipers, wakati wa mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Atletico Madrid, uliopigwa jana usiku huko Lisbon. Madrid ilishinda 4-1 dhidi ya atletico.


Karim Benzema, (kulia) akiwania mpira na Miranda wa Atletico, wakati wa mchezo huo.
SOMA ZAIDI >>> »